-
Yoshua 1:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 “Ila tu ukuwe hodari na mwenye nguvu sana, na ufuate kwa uangalifu Sheria yote yenye Musa mutumishi wangu alikuamuru. Usiiache kwa kuenda kuume wala kushoto,+ ili utende kwa hekima kila mahali kwenye unaenda.+ 8 Kitabu hiki cha Sheria kisitoke katika kinywa chako,+ na unapaswa kukisoma kwa sauti ya chini* muchana na usiku, ili ufuate kwa uangalifu mambo yote yenye kuandikwa ndani;+ ukifanya vile, njia yako itakuwa na matokeo ya muzuri na utatenda kwa hekima.+
-
-
Mezali 4:27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Usielekee kuume wala kushoto.+
Epusha miguu yako na mambo ya mubaya.
-