Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Kisha akakamata zahabu kutoka kwao, na akatengeneza nayo sanamu* ya kitoto-dume cha ngombe kwa kutumia kifaa cha kuchongea.+ Watu wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, mwenye alikuongoza kutoka katika inchi ya Misri.”+

  • Kumbukumbu la Torati 7:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “Lakini, ni hivi mutawatendea: Mubomoe mazabahu zao, muvunje nguzo zao takatifu,+ mukate miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza kwa moto sanamu zao za kuchongwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Utateketeza sanamu za kuchongwa za miungu yao ndani ya moto.+ Usitamani feza na zahabu ya sanamu hizo wala usiikamate ili ikuwe yako,+ ili usinaswe katika mutego wake, kwa maana ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+

  • Waamuzi 17:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Basi akarudishia mama yake vile vipande elfu moja na mia moja (1 100) vya feza, lakini mama yake akasema: “Hakika nitatakasa kwa ajili ya Yehova feza hiyo yenye kutoka katika mukono wangu ili mwana wangu aitumie kutengeneza sanamu ya kuchongwa na sanamu ya metali.*+ Sasa nitarudisha feza hiyo kwako.”

      4 Kisha yeye kurudishia mama yake feza hiyo, mama yake akakamata vipande mia mbili (200) vya feza na kuvipatia fundi wa feza. Fundi huyo akatengeneza sanamu ya kuchongwa na sanamu ya metali;* na sanamu hizo zikawekwa katika nyumba ya Mika.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine