-
Waamuzi 17:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Basi akarudishia mama yake vile vipande elfu moja na mia moja (1 100) vya feza, lakini mama yake akasema: “Hakika nitatakasa kwa ajili ya Yehova feza hiyo yenye kutoka katika mukono wangu ili mwana wangu aitumie kutengeneza sanamu ya kuchongwa na sanamu ya metali.*+ Sasa nitarudisha feza hiyo kwako.”
4 Kisha yeye kurudishia mama yake feza hiyo, mama yake akakamata vipande mia mbili (200) vya feza na kuvipatia fundi wa feza. Fundi huyo akatengeneza sanamu ya kuchongwa na sanamu ya metali;* na sanamu hizo zikawekwa katika nyumba ya Mika.
-