-
2 Mambo ya Nyakati 28:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 2 Tofauti na hilo, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata alitengeneza sanamu za metali*+ za Mabaali.
-