Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Ahazi+ alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 2 Tofauti na hilo, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata alitengeneza sanamu za metali*+ za Mabaali.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 33 Manase+ alikuwa na miaka kumi na mbili (12) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na tano (55) katika Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Ile sanamu ya kuchongwa yenye alitengeneza akaitia katika nyumba ya Mungu wa kweli+ yenye Mungu alikuwa amemuambia hivi Daudi na Sulemani mwana wake kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, yenye nimechagua kutoka kati ya makabila yote ya Israeli, nitaweka jina langu sikuzote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine