Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+ Sefania 3:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Yehova Mungu wako iko* katikati yako.+ Atakuokoa kwa kuwa ni Mwenye nguvu. Atakufurahia kwa shangwe kubwa.+ Atanyamaza* katika upendo wake. Atashangilia kwa sababu yako kwa sauti za furaha.
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
17 Yehova Mungu wako iko* katikati yako.+ Atakuokoa kwa kuwa ni Mwenye nguvu. Atakufurahia kwa shangwe kubwa.+ Atanyamaza* katika upendo wake. Atashangilia kwa sababu yako kwa sauti za furaha.