Isaya 42:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Nitaongoza vipofu kwenye njia yenye hawajue+Na kuwafanya wakanyange njia zenye hawafahamie.+ Nitageuza giza lenye kuwa mbele yao kuwa mwangaza+Na kugeuza eneo lenye majiwe-majiwe kuwa inchi tambarare.+ Ni vile nitawafanyia, na sitawaacha.”
16 Nitaongoza vipofu kwenye njia yenye hawajue+Na kuwafanya wakanyange njia zenye hawafahamie.+ Nitageuza giza lenye kuwa mbele yao kuwa mwangaza+Na kugeuza eneo lenye majiwe-majiwe kuwa inchi tambarare.+ Ni vile nitawafanyia, na sitawaacha.”