Isaya 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+ Isaya 25:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Siku hiyo watasema: “Angalia! Huyu ndiye Mungu wetu!+ Tumemutumainia yeye,+Na atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova! Tumemutumainia yeye. Tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+
2 Angalia! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini na sitaogopa sana;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wanguNa amekuwa wokovu wangu.”+
9 Siku hiyo watasema: “Angalia! Huyu ndiye Mungu wetu!+ Tumemutumainia yeye,+Na atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova! Tumemutumainia yeye. Tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+