Isaya 53:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 53 Ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+ Yohana 12:37, 38 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 37 Hata kama alikuwa amefanya alama nyingi sana mbele yao, hawakukuwa wanamuamini, 38 ili neno hili la nabii Isaya litimizwe: “Yehova,* ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+
53 Ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,+ umefunuliwa kwa nani?+
37 Hata kama alikuwa amefanya alama nyingi sana mbele yao, hawakukuwa wanamuamini, 38 ili neno hili la nabii Isaya litimizwe: “Yehova,* ni nani ameamini jambo lenye limesikiwa kutoka kwetu?*+ Na kuhusu mukono wa Yehova,* umefunuliwa kwa nani?”+