7 “Kumbuka—usisahau hata kidogo—namna ulimuchokoza Yehova Mungu wako katika jangwa.+ Tangu siku yenye ulitoka katika inchi ya Misri mupaka wakati mulifika mahali hapa, mumemuasi Yehova.+
9 Waisraeli walikuwa wanafuatilia mambo yenye hayakukuwa sawa kulingana na Yehova Mungu wao. Waliendelea kujenga mahali pa juu katika miji yao yote,+ kuanzia munara wa mulinzi mupaka kwenye muji wenye ngome.*