-
2 Wafalme 16:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Basi Ahazi akatuma wajumbe kwa Mufalme Tiglat-pileseri+ wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mutumishi wako na mwana wako. Panda ukuje na uniokoe kutoka katika mukono wa mufalme wa Siria na kutoka katika mukono wa mufalme wa Israeli, wenye wananishambulia.”
-