Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Ahazi, mufalme wa Yuda (1-6)

      • Ahazi anapatia Waashuru rushwa (7-9)

      • Ahazi anaiga mazabahu ya wapagani (10-18)

      • Kifo cha Ahazi (19, 20)

2 Wafalme 16:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:1; 7:1; Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9

2 Wafalme 16:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:1-4

2 Wafalme 16:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 16:33
  • +Law. 20:2, 3; 2Nya 33:1, 6; Yer 7:31
  • +Kum 12:29-31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Unabii wa Isaya 1, uku. 8-9

2 Wafalme 16:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52
  • +Kum 12:2

2 Wafalme 16:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:37; 2Nya 28:5, 6

2 Wafalme 16:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “watu wa Yuda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 14:21, 22

2 Wafalme 16:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:29

2 Wafalme 16:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:18, 19

2 Wafalme 16:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 1:4, 5
  • +Isa 9:11

2 Wafalme 16:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:30

2 Wafalme 16:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 8:2
  • +Yer 23:11; Eze 22:26

2 Wafalme 16:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:22, 23, 25

2 Wafalme 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

2 Wafalme 16:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 4:1

2 Wafalme 16:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 8:2
  • +2Nya 28:23
  • +Kut 29:39-41

2 Wafalme 16:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:11

2 Wafalme 16:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “pavement.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:27, 28
  • +1 Fal. 7:38; 2Nya 4:6
  • +1 Fal. 7:23, 25
  • +2Nya 28:24; 29:19

2 Wafalme 16:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:26, 27

2 Wafalme 16:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Yehova Anatia Nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:1; 2Nya 29:1; Isa 1:1; Ho 1:1; Mt 1:9

Maandiko ingine

2 Fa. 16:1Isa 1:1; 7:1; Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
2 Fa. 16:22Nya 28:1-4
2 Fa. 16:31 Fal. 12:28-30; 16:33
2 Fa. 16:3Law. 20:2, 3; 2Nya 33:1, 6; Yer 7:31
2 Fa. 16:3Kum 12:29-31
2 Fa. 16:4Hes 33:52
2 Fa. 16:4Kum 12:2
2 Fa. 16:52 Fal. 15:37; 2Nya 28:5, 6
2 Fa. 16:62 Fal. 14:21, 22
2 Fa. 16:72 Fal. 15:29
2 Fa. 16:81 Fal. 15:18, 19
2 Fa. 16:9Amo 1:4, 5
2 Fa. 16:9Isa 9:11
2 Fa. 16:10Kum 12:30
2 Fa. 16:11Isa 8:2
2 Fa. 16:11Yer 23:11; Eze 22:26
2 Fa. 16:122Nya 28:22, 23, 25
2 Fa. 16:142Nya 4:1
2 Fa. 16:15Isa 8:2
2 Fa. 16:152Nya 28:23
2 Fa. 16:15Kut 29:39-41
2 Fa. 16:162 Fal. 16:11
2 Fa. 16:171 Fal. 7:27, 28
2 Fa. 16:171 Fal. 7:38; 2Nya 4:6
2 Fa. 16:171 Fal. 7:23, 25
2 Fa. 16:172Nya 28:24; 29:19
2 Fa. 16:192Nya 28:26, 27
2 Fa. 16:202 Fal. 18:1; 2Nya 29:1; Isa 1:1; Ho 1:1; Mt 1:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 16:1-20

Cha Pili cha Wafalme

16 Katika mwaka wa kumi na saba (17) wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi+ mwana wa Mufalme Yotamu wa Yuda akakuwa mufalme. 2 Ahazi alikuwa na miaka makumi mbili (20) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Hakufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova Mungu wake kama vile Daudi babu yake alikuwa amefanya.+ 3 Tofauti na hilo, alitembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na alipitisha hata mwana wake mwenyewe katika moto,+ akifuata matendo yenye kuchukiza ya mataifa+ yenye Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya Waisraeli. 4 Aliendelea pia kutoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu,+ kwenye vilima, na chini ya kila muti wenye majani mengi.+

5 Ni wakati huo ndio Mufalme Resini wa Siria na Peka mwana wa Remalia mufalme wa Israeli walipanda ili kuja kupigana vita na Yerusalemu.+ Wakamuzunguka Ahazi kwa ajili ya vita lakini hawakuweza kukamata muji. 6 Wakati huo Mufalme Resini wa Siria akarudisha Elati+ kwa Edomu, kisha akafukuza Wayahudi* kutoka Elati. Na Waedomu wakaingia Elati, na wamekuwa wakiishi ndani mupaka leo. 7 Basi Ahazi akatuma wajumbe kwa Mufalme Tiglat-pileseri+ wa Ashuru, na kusema: “Mimi ni mutumishi wako na mwana wako. Panda ukuje na uniokoe kutoka katika mukono wa mufalme wa Siria na kutoka katika mukono wa mufalme wa Israeli, wenye wananishambulia.” 8 Kisha Ahazi akakamata feza na zahabu yenye ilikuwa katika nyumba ya Yehova na katika hazina za nyumba ya mufalme na akatuma rushwa* kwa mufalme wa Ashuru.+ 9 Mufalme wa Ashuru akakubali ombi lake, na akapanda kuenda Damasko na akaikamata na akakamata watu wake na kuwapeleka katika uhamisho kule Kiri,+ na akamuua Resini.+

10 Kisha Mufalme Ahazi akaenda kukutana na Mufalme Tiglat-pileseri wa Ashuru kule Damasko. Wakati aliona mazabahu yenye ilikuwa katika Damasko, Mufalme Ahazi akamutumia Uriya kuhani plani ya mazabahu hiyo, yenye kuonyesha mufano wa mazabahu hiyo na namna ilitengenezwa.+ 11 Uriya+ kuhani akajenga mazabahu+ kulingana na miongozo yote yenye Mufalme Ahazi alikuwa ametuma kutoka Damasko. Uriya kuhani akamaliza kuijenga mbele Mufalme Ahazi arudie kutoka Damasko. 12 Wakati mufalme alirudia kutoka Damasko na kuona mazabahu hiyo, akakaribia mazabahu hiyo na kutoa matoleo juu yake.+ 13 Na juu ya mazabahu hiyo aliendelea kutoa matoleo yake ya kuteketezwa na kuchoma matoleo yake ya nafaka ili yatoe moshi; pia alimwanga matoleo yake ya kinywaji na kunyunyiza* damu ya zabihu zake za ushirika juu ya mazabahu hiyo. 14 Kisha akasogeza mazabahu ya shaba+ yenye ilikuwa mbele ya Yehova kutoka mahali kwenye ilikuwa mbele ya nyumba, kutoka kati ya mazabahu yake mwenyewe na nyumba ya Yehova, na akaiweka kwenye upande wa kaskazini wa mazabahu yake mwenyewe. 15 Mufalme Ahazi akamuamuru Uriya+ kuhani: “Choma matoleo ya kuteketezwa ya asubui ili yatoe moshi juu ya mazabahu kubwa,+ pia toleo la nafaka la mangaribi,+ toleo la kuteketezwa la mufalme, na toleo lake la nafaka, na pia matoleo ya kuteketezwa, matoleo ya nafaka, na matoleo ya kinywaji ya watu wote. Unapaswa pia kunyunyiza* juu yake damu yote ya matoleo ya kuteketezwa na damu yote ya zabihu zingine. Kuhusu mazabahu ya shaba, acha niamue kama itafanyiwa nini.” 16 Na Uriya kuhani alifanya mambo yote yenye Mufalme Ahazi alikuwa ameamuru.+

17 Zaidi ya hayo, Mufalme Ahazi akakata vipande-vipande vibao vya pembeni vya yale magari+ na akaondoa beseni zenye zilikuwa juu yake,+ na akashusha ile Bahari kutoka juu ya wale ngombe-dume wa shaba+ na akaiweka kwenye sakafu* ya majiwe.+ 18 Na jengo lenye kufunikwa kwa ajili ya Sabato lenye lilikuwa limejengwa katika nyumba na muingilio wa inje wa mufalme alivihamisha kutoka kwenye nyumba ya Yehova; alifanya vile kwa sababu ya mufalme wa Ashuru.

19 Na mambo mengine ya historia ya Ahazi, mambo yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda?+ 20 Kisha Ahazi akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake na akazikwa katika Muji wa Daudi; na Hezekia* mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine