Mambo ya Walawi 1:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 “‘Kama toleo lake ni toleo la kuteketezwa kutoka katika mifugo, anapaswa kutoa munyama dume mwenye hana kasoro.+ Anapaswa kumutoa kwa kupenda kwake mwenyewe+ mbele ya Yehova kwenye muingilio wa hema ya mukutano.
3 “‘Kama toleo lake ni toleo la kuteketezwa kutoka katika mifugo, anapaswa kutoa munyama dume mwenye hana kasoro.+ Anapaswa kumutoa kwa kupenda kwake mwenyewe+ mbele ya Yehova kwenye muingilio wa hema ya mukutano.