17 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Hamukunitii katika kutangaza uhuru, kila mutu kwa ndugu yake na kwa mwenzake.+ Basi sasa nitawatangazia ninyi uhuru,’ ni vile Yehova anasema, ‘kwa upanga, ugonjwa wa kuambukiza, na njaa,+ na nitawafanya ninyi kuwa kitu cha kuogopesha kwa falme zote za dunia.+