-
Yeremia 25:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 ninaita familia zote za kaskazini,”+ ni vile Yehova anasema, “ninamuita Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni, mutumishi wangu,+ na nitawaleta juu ya inchi hii+ na juu ya wakaaji wake na juu ya mataifa haya yote ya pembeni-pembeni.+ Nitawaharibu na kuwafanya kuwa kitu cha kuogopesha na kitu cha kupigiwa muluzi na mabomoko ya kudumu.
-