-
Yeremia 21:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mufalme Sedekia+ alituma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, ili kutoa ombi hili: 2 “Tafazali umuulize Yehova kwa ajili yetu, kwa sababu Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita na sisi.+ Pengine Yehova atatutendea moja ya matendo yake ya ajabu, na hivyo ataondoka kwetu.”+
-