Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Mukubwa wa walinzi alikamata pia Seraya+ mukubwa wa makuhani, Sefania+ kuhani wa pili, na wale walinzi watatu (3) wa milango.+

  • 2 Wafalme 25:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Mufalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua kule Ribla katika inchi ya Hamati.+ Basi Yuda wakaenda katika uhamisho kutoka katika inchi yao.+

  • Yeremia 21:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Yeremia alipokea neno kutoka kwa Yehova wakati Mufalme Sedekia+ alituma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, ili kutoa ombi hili: 2 “Tafazali umuulize Yehova kwa ajili yetu, kwa sababu Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni anapigana vita na sisi.+ Pengine Yehova atatutendea moja ya matendo yake ya ajabu, na hivyo ataondoka kwetu.”+

  • Yeremia 37:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Na Mufalme Sedekia akatuma Yehukali+ mwana wa Shelemia na Sefania+ mwana wa Maaseya kuhani kwa Yeremia nabii, na kusema: “Tafazali sali kwa ajili yetu kwa Yehova Mungu wetu.”

  • Yeremia 52:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Mukubwa wa walinzi alimukamata pia Seraya+ mukubwa wa makuhani, Sefania+ kuhani wa pili, na wale walinzi watatu (3) wa milango.+

  • Yeremia 52:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Mufalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua kule Ribla+ katika inchi ya Hamati. Basi Yuda wakaenda katika uhamisho kutoka katika inchi yao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine