Yeremia 14:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uongo na uaguzi wenye hauna mafaa yoyote na udanganyifu wa moyo wao wenyewe ndio unabii wenye wanawatolea ninyi.+ Yeremia 23:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Musisikilize maneno ya manabii wenye wanawatolea ninyi unabii.+ Wanawadanganya ninyi.* Maono yenye wanasema yanatoka katika moyo wao wenyewe,+Hapana katika kinywa cha Yehova.+
14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uongo na uaguzi wenye hauna mafaa yoyote na udanganyifu wa moyo wao wenyewe ndio unabii wenye wanawatolea ninyi.+
16 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Musisikilize maneno ya manabii wenye wanawatolea ninyi unabii.+ Wanawadanganya ninyi.* Maono yenye wanasema yanatoka katika moyo wao wenyewe,+Hapana katika kinywa cha Yehova.+