Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uongo na uaguzi wenye hauna mafaa yoyote na udanganyifu wa moyo wao wenyewe ndio unabii wenye wanawatolea ninyi.+

  • Yeremia 23:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Musisikilize maneno ya manabii wenye wanawatolea ninyi unabii.+

      Wanawadanganya ninyi.*

      Maono yenye wanasema yanatoka katika moyo wao wenyewe,+

      Hapana katika kinywa cha Yehova.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine