8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Musiache manabii wenu na waaguzi wenu wenye kuwa kati yenu wawadanganye ninyi,+ na musisikilize ndoto zenye wanaota. 9 Kwa maana ‘wanawatolea ninyi unabii wa uongo katika jina langu. Mimi sikuwatuma,’+ ni vile Yehova anasema.”’”