Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 14:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uongo na uaguzi wenye hauna mafaa yoyote na udanganyifu wa moyo wao wenyewe ndio unabii wenye wanawatolea ninyi.+

  • Yeremia 28:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kisha Yeremia nabii akamuambia Hanania+ nabii: “Tafazali, sikiliza, Ee Hanania! Yehova hakukutuma, lakini umefanya watu hawa wategemee uongo.+ 16 Kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Angalia! Ninakuondoa kwenye uso wa inchi. Utakufa mwaka huu, kwa maana umechochea uasi juu ya Yehova.’”+

  • Yeremia 29:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Musiache manabii wenu na waaguzi wenu wenye kuwa kati yenu wawadanganye ninyi,+ na musisikilize ndoto zenye wanaota. 9 Kwa maana ‘wanawatolea ninyi unabii wa uongo katika jina langu. Mimi sikuwatuma,’+ ni vile Yehova anasema.”’”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine