13 “Kwa maana kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi, kila mumoja anajipatia faida yenye haiko ya haki;+
Kuanzia nabii mupaka kuhani, kila mumoja anatenda kwa upunjaji.+
14 Na wanajaribu kuponyesha kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu, wakisema,
‘Kuko amani! Kuko amani!’