Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini kama munafanya mambo ya mubaya bila kujali, mutaharibiwa,+ ninyi na mufalme wenu.”+

  • 2 Wafalme 17:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Lakini, mufalme wa Ashuru akapata habari kwamba Hoshea alishiriki katika mupango fulani mubaya, kwa maana alikuwa ametuma wajumbe kwa Mufalme So wa Misri+ na hakuleta ushuru kwa mufalme wa Ashuru kama vile alifanya miaka yenye ilitangulia. Kwa hiyo, mufalme wa Ashuru akamufunga na kumutia katika gereza.

  • Yeremia 52:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha mufalme wa Babiloni akapofusha macho ya Sedekia,+ akamufunga kwa pingu za shaba, akamupeleka Babiloni, na kumufunga katika gereza mupaka siku ya kifo chake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine