17 Kwa sababu kwa njia hiyo haki ya Mungu inafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama vile imeandikwa: “Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.”+
11 Zaidi ya hayo, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mutu mwenye anatangazwa kuwa mwenye haki mbele ya macho ya Mungu,+ kwa maana “mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani.”+