Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Ule mwenye anamuamini Mwana iko* na uzima wa milele;+ ule mwenye hamutii Mwana hataona uzima,+ lakini kasirani kali ya Mungu inakaa juu yake.+

  • Waroma 1:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa sababu kwa njia hiyo haki ya Mungu inafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama vile imeandikwa: “Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.”+

  • Wagalatia 3:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Zaidi ya hayo, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mutu mwenye anatangazwa kuwa mwenye haki mbele ya macho ya Mungu,+ kwa maana “mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani.”+

  • Waebrania 10:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 “Lakini mutu wangu mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani,”+ na “kama anarudia nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwe* naye.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine