Habakuki 2:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Angalia mutu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwenye haki ataishi kwa uaminifu wake.*+ Wagalatia 3:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Zaidi ya hayo, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mutu mwenye anatangazwa kuwa mwenye haki mbele ya macho ya Mungu,+ kwa maana “mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani.”+ Waebrania 10:38 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 38 “Lakini mutu wangu mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani,”+ na “kama anarudia nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwe* naye.”+
4 Angalia mutu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwenye haki ataishi kwa uaminifu wake.*+
11 Zaidi ya hayo, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mutu mwenye anatangazwa kuwa mwenye haki mbele ya macho ya Mungu,+ kwa maana “mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani.”+
38 “Lakini mutu wangu mwenye haki ataishi kwa sababu ya imani,”+ na “kama anarudia nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwe* naye.”+