Yeremia 12:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Wewe ni mwenye haki, Ee Yehova,+ wakati ninakuletea lalamiko langu,Wakati ninasema na wewe juu ya mambo ya haki. Lakini sababu gani njia ya waovu imefanikiwa,+Na sababu gani wadanganyifu hawana wasiwasi?
12 Wewe ni mwenye haki, Ee Yehova,+ wakati ninakuletea lalamiko langu,Wakati ninasema na wewe juu ya mambo ya haki. Lakini sababu gani njia ya waovu imefanikiwa,+Na sababu gani wadanganyifu hawana wasiwasi?