11 “‘“Wakati siku zako zitafikia mwisho na uende kuwa pamoja na mababu zako, nitainua uzao wako* kisha wewe, mumoja wa wana wako,+ na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+
32 Huyo atakuwa mukubwa+ na ataitwa Mwana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi;+ na Yehova* Mungu atamupatia kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+33 na atatawala akiwa Mufalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+