Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 19:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Ninawaambia ninyi kwamba kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake, kama haiko tu kwa sababu ya uasherati,* na kumuoa mwingine anafanya uzinifu.”+

  • Marko 10:11, 12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Akawaambia: “Kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake na kuoa mwingine anafanya uzinifu+ na anakosa uaminifu kwa bibi yake, 12 na kama mwanamuke anavunja ndoa na bwana yake kisha anaolewa na mwingine, anafanya uzinifu.”+

  • Luka 16:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake na kuoa mwingine anafanya uzinifu, na kila mutu mwenye anaoa mwanamuke mwenye ndoa yake ilivunjwa na bwana yake, anafanya uzinifu.+

  • Waroma 7:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Hivyo basi, wakati bwana yake angali muzima, ule mwanamuke ataitwa muzinifu kama anakuwa bibi wa mwanaume mwingine.+ Lakini kama bwana yake anakufa, yeye amefunguliwa kutoka katika sheria ya bwana yake, basi haiko muzinifu kama anakuwa bibi wa mwanaume mwingine.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine