Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 5:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Lakini, mimi ninawaambia kwamba kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake, kama haiko tu kwa sababu ya uasherati,* anamutia bibi yake katika hatari ya kufanya uzinifu, na kila mutu mwenye anamuoa mwanamuke mwenye ndoa yake ilivunjika anafanya uzinifu.+

  • Matayo 19:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Ninawaambia ninyi kwamba kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake, kama haiko tu kwa sababu ya uasherati,* na kumuoa mwingine anafanya uzinifu.”+

  • Luka 16:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “Kila mutu mwenye anavunja ndoa na bibi yake na kuoa mwingine anafanya uzinifu, na kila mutu mwenye anaoa mwanamuke mwenye ndoa yake ilivunjwa na bwana yake, anafanya uzinifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine