Mambo ya Walawi 19:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Marko 12:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Ya pili ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa zaidi kuliko hizi.”
18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
31 Ya pili ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa zaidi kuliko hizi.”