43 “Mulisikia kama ilisemwa: ‘Unapaswa kumupenda jirani yako+ na kuchukia adui yako.’ 44 Lakini, mimi ninawaambia ninyi: Muendelee kupenda maadui wenu+ na kusali kwa ajili ya wale wenye kuwatesa ninyi,+
9 Kwa maana sheria zenye kusema, “Haupaswe kufanya uzinifu,+ haupaswe kuua,+ haupaswe kuiba,+ haupaswe kutamani,”+ na amri ingine yoyote yenye iko, zinatajwa kwa kifupi katika maneno haya: “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”+