Luka 6:27, 28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 27 “Lakini ninawaambia ninyi wenye kusikiliza: Muendelee kupenda maadui wenu, kutendea mema wale wenye kuwachukia ninyi,+ 28 kubariki wale wenye kuwalaani ninyi, na kusali kwa ajili ya wale wenye kuwatukana ninyi.+ Matendo 7:60 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie zambi hii.”+ Na kisha kusema maneno hayo, akalala usingizi katika kifo. Waroma 12:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Muendelee kubariki wale wenye wanawatesa ninyi;+ mubariki lakini musilaani.+
27 “Lakini ninawaambia ninyi wenye kusikiliza: Muendelee kupenda maadui wenu, kutendea mema wale wenye kuwachukia ninyi,+ 28 kubariki wale wenye kuwalaani ninyi, na kusali kwa ajili ya wale wenye kuwatukana ninyi.+
60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie zambi hii.”+ Na kisha kusema maneno hayo, akalala usingizi katika kifo.