Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 6:17, 18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wamukamate Yohana, akamufunga katika gereza kwa sababu ya Herodia, bibi ya Filipo ndugu yake, kwa kuwa Herode alikuwa amemuoa.+ 18 Kwa maana Yohana alikuwa anamuambia Herode: “Hauruhusiwe kuwa na bibi ya ndugu yako.”+

  • Luka 3:19, 20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Lakini Yohana alikuwa amemukaripia Herode mutawala wa wilaya, kwa sababu alimuoa Herodia bibi ya ndugu yake na kwa sababu ya matendo yote maovu yenye Herode alikuwa amefanya. 20 Na Herode akaongeza jambo hili kwenye matendo hayo yote: Akamufunga Yohana katika gereza.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine