Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 14:3-5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Herode* alikuwa amemukamata Yohana, akamufunga na kumutia katika gereza kwa sababu ya Herodia, bibi ya Filipo ndugu yake.+ 4 Kwa maana Yohana alikuwa anamuambia Herode: “Hauruhusiwe kuwa na mwanamuke huyo.”+ 5 Lakini, hata kama Herode alitaka kumuua, aliogopa watu, kwa sababu walimuona Yohana kuwa nabii.+

  • Marko 6:17-20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kwa maana Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu wamukamate Yohana, akamufunga katika gereza kwa sababu ya Herodia, bibi ya Filipo ndugu yake, kwa kuwa Herode alikuwa amemuoa.+ 18 Kwa maana Yohana alikuwa anamuambia Herode: “Hauruhusiwe kuwa na bibi ya ndugu yako.”+ 19 Basi Herodia alimuwekea Yohana kinyongo* na alitaka kumuua, lakini hakuweza. 20 Kwa maana Herode alikuwa anaogopa Yohana, na alimujua kuwa mwenye haki na mutakatifu,+ na alikuwa anamulinda. Kisha kumusikiliza, alikosa kabisa afanye nini, lakini aliendelea kumusikiliza kwa furaha.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine