Matayo 14:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Wakati alifika pembeni ya bahari, akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ na akaponyesha wagonjwa wao.+ Marko 6:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 Basi, wakati alitoka katika mashua,* akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wenye hawana muchungaji.+ Na akaanza kuwafundisha mambo mengi.+
14 Wakati alifika pembeni ya bahari, akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ na akaponyesha wagonjwa wao.+
34 Basi, wakati alitoka katika mashua,* akaona watu wengi sana, na akawasikilia huruma,+ kwa sababu walikuwa kama kondoo wenye hawana muchungaji.+ Na akaanza kuwafundisha mambo mengi.+