Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 10:41-45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Wakati wale wengine kumi (10) walisikia jambo hilo, wakamukasirikia Yakobo na Yohana.+ 42 Lakini Yesu, akawaita na kuwaambia: “Munajua kwamba wale wenye wanaonekana kuwa wanatawala* mataifa wanapiga ubwana juu yao na wakubwa wao wanatumia mamlaka juu yao.+ 43 Haipaswe kuwa vile kati yenu; lakini kila mutu mwenye anataka kuwa mukubwa katikati yenu anapaswa kuwa mutumishi wenu,+ 44 na kila mutu mwenye anataka kuwa wa kwanza katikati yenu anapaswa kuwa mutumwa wa wote. 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine+ na atoe uzima wake* kuwa bei ya ukombozi pa nafasi ya wengi.”+

  • Luka 22:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao alionwa kuwa mukubwa zaidi.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine