Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Marko 13:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Wakati alikuwa anatoka katika hekalu, mumoja wa wanafunzi wake akamuambia: “Mwalimu, ona namna majiwe na majengo haya ni ya ajabu!”+ 2 Lakini, Yesu akamuambia: “Unaona majengo haya makubwa? Hakuna jiwe lenye litaachwa hapa juu ya jiwe bila kuangushwa chini.”+

  • Luka 19:44
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 Watakuangusha chini wewe na watoto wenye kuwa ndani yako,+ na hawataacha jiwe juu ya jiwe ndani yako,+ kwa sababu haukutambua wakati wa kuchunguzwa kwako.”

  • Luka 21:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kisha, wakati watu fulani walikuwa wanasema juu ya hekalu, namna lilikuwa limepambwa kwa majiwe ya muzuri na vitu vyenye vilitolewa kwa Mungu,+ 6 akasema: “Vitu hivi vyenye munaona sasa, siku zinakuja wakati hakuna jiwe lenye litaachwa juu ya jiwe bila kuangushwa chini.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine