5 Kisha, wakati watu fulani walikuwa wanasema juu ya hekalu, namna lilikuwa limepambwa kwa majiwe ya muzuri na vitu vyenye vilitolewa kwa Mungu,+ 6 akasema: “Vitu hivi vyenye munaona sasa, siku zinakuja wakati hakuna jiwe lenye litaachwa juu ya jiwe bila kuangushwa chini.”+