24 Sasa, wakati Yesu alikuwa anatoka katika hekalu, wanafunzi wake wakamukaribia ili kumuonyesha majengo ya hekalu. 2 Akawajibu na kuwaambia: “Je, hamuone vitu hivi vyote? Kwa kweli ninawaambia ninyi, hakuna jiwe lenye litaachwa hapa juu ya jiwe bila kuangushwa chini.”+