Matayo 10:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Na mutachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini ule mwenye atavumilia* mupaka mwisho ataokolewa.+ Marko 13:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Na mutachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+ Lakini ule mwenye atavumilia* mupaka mwisho+ ataokolewa.+ Luka 21:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Kupitia uvumilivu wenu mutaokoa uzima wenu.*+ Waebrania 10:36 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 36 Kwa maana muko na lazima ya uvumilivu,+ ili kisha kufanya mapenzi ya Mungu, mupokee utimizo wa ile ahadi.
22 Na mutachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu,+ lakini ule mwenye atavumilia* mupaka mwisho ataokolewa.+
13 Na mutachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu.+ Lakini ule mwenye atavumilia* mupaka mwisho+ ataokolewa.+
36 Kwa maana muko na lazima ya uvumilivu,+ ili kisha kufanya mapenzi ya Mungu, mupokee utimizo wa ile ahadi.