3 Haiko ile tu, lakini tufurahi basi* hata kama tuko katika taabu,+ kwa kuwa tunajua kama taabu inatokeza uvumilivu;+4 na uvumilivu unatokeza hali ya kukubaliwa;+ na hali ya kukubaliwa inatokeza tumaini,+
5 Kwa sababu hii, mujikaze kabisa+ kuongeza kwenye imani yenu tabia za muzuri,+ kwenye tabia zenu za muzuri ujuzi,+6 kwenye ujuzi wenu kujizuia, kwenye kujizuia kwenu+ uvumilivu, kwenye uvumilivu wenu ushikamanifu kwa Mungu,+