Zaburi 2:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Muache nitangaze agizo la Yehova;Aliniambia: “Wewe ni mwana wangu;+Leo nimekuwa baba yako.+ Matayo 3:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Angalia! Sauti ikatoka pia mbinguni,+ na kusema: “Huyu ni Mwana wangu,+ mupendwa, mwenye nimekubali.”+ Luka 3:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 na roho takatifu ikashuka juu yake katika umbo ya njiwa, na sauti ikatoka mbinguni: “Wewe ni Mwana wangu, mupendwa; nimekukubali.”+ 2 Petro 1:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu wakati maneno haya ya namna hii yalitolewa* kwake kupitia utukufu mukubwa: “Huyu ni Mwana wangu, mupendwa wangu, mwenye mimi mwenyewe nimemukubali.”+
17 Angalia! Sauti ikatoka pia mbinguni,+ na kusema: “Huyu ni Mwana wangu,+ mupendwa, mwenye nimekubali.”+
22 na roho takatifu ikashuka juu yake katika umbo ya njiwa, na sauti ikatoka mbinguni: “Wewe ni Mwana wangu, mupendwa; nimekukubali.”+
17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu wakati maneno haya ya namna hii yalitolewa* kwake kupitia utukufu mukubwa: “Huyu ni Mwana wangu, mupendwa wangu, mwenye mimi mwenyewe nimemukubali.”+