-
Matayo 15:3-6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Akawajibu: “Sababu gani munavunja amri ya Mungu kwa sababu ya desturi zenu?+ 4 Kwa mufano, Mungu alisema, ‘Heshimia baba yako na mama yako,’+ na, ‘Kila mutu mwenye anamutukana baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.’+ 5 Lakini ninyi munasema, ‘Kila mutu mwenye anamuambia baba yake ao mama yake: “Kitu chochote chenye niko nacho chenye kingekusaidia ni zawadi yenye imetolewa kwa Mungu,”+ 6 basi halazimike tena kumuheshimia baba yake hata kidogo.’ Kwa hiyo, mumefanya neno la Mungu kuwa kitu cha bure kwa sababu ya desturi yenu.+
-