Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 15:3-6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Akawajibu: “Sababu gani munavunja amri ya Mungu kwa sababu ya desturi zenu?+ 4 Kwa mufano, Mungu alisema, ‘Heshimia baba yako na mama yako,’+ na, ‘Kila mutu mwenye anamutukana baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.’+ 5 Lakini ninyi munasema, ‘Kila mutu mwenye anamuambia baba yake ao mama yake: “Kitu chochote chenye niko nacho chenye kingekusaidia ni zawadi yenye imetolewa kwa Mungu,”+ 6 basi halazimike tena kumuheshimia baba yake hata kidogo.’ Kwa hiyo, mumefanya neno la Mungu kuwa kitu cha bure kwa sababu ya desturi yenu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine