-
Matayo 15:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Wanaendelea kuniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa desturi.’”+
-
-
Marko 7:8-13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Munaacha amri ya Mungu na munashikamana na desturi ya watu.”+
9 Zaidi ya hayo akawaambia: “Munazarau amri ya Mungu kwa werevu ili mufuate desturi yenu.+ 10 Kwa mufano, Musa alisema, ‘Heshimia baba yako na mama yako,’+ na, ‘Kila mutu mwenye anatukana baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.’+ 11 Lakini ninyi munasema, ‘Mutu akimuambia baba yake ao mama yake: “Kitu chochote chenye niko nacho chenye kingekusaidia ni korbani (ni kusema, zawadi yenye imetolewa kwa Mungu),”’ 12 hamumuache afanye hata jambo moja kwa ajili ya baba yake ao mama yake.+ 13 Kwa hiyo, munafanya neno la Mungu kuwa bure kwa desturi yenu yenye muliwekea watu.+ Na munafanya mambo mengi ya namna hiyo.”+
-