Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 15:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Wanaendelea kuniabudu bure, kwa maana wanafundisha amri za wanadamu kuwa desturi.’”+

  • Marko 7:8-13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Munaacha amri ya Mungu na munashikamana na desturi ya watu.”+

      9 Zaidi ya hayo akawaambia: “Munazarau amri ya Mungu kwa werevu ili mufuate desturi yenu.+ 10 Kwa mufano, Musa alisema, ‘Heshimia baba yako na mama yako,’+ na, ‘Kila mutu mwenye anatukana baba yake ao mama yake anapaswa kuuawa.’+ 11 Lakini ninyi munasema, ‘Mutu akimuambia baba yake ao mama yake: “Kitu chochote chenye niko nacho chenye kingekusaidia ni korbani (ni kusema, zawadi yenye imetolewa kwa Mungu),”’ 12 hamumuache afanye hata jambo moja kwa ajili ya baba yake ao mama yake.+ 13 Kwa hiyo, munafanya neno la Mungu kuwa bure kwa desturi yenu yenye muliwekea watu.+ Na munafanya mambo mengi ya namna hiyo.”+

  • Wakolosai 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Mufanye angalisho ili mutu yeyote asiwakamate mateka* kupitia filozofia na udanganyifu wa bure+ kulingana na desturi ya wanadamu, kulingana na mambo ya musingi ya ulimwengu na hapana kulingana na Kristo;

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine