Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  2 Hatalalamika wala kupandisha sauti yake,

      Na hatafanya sauti yake isikike katika barabara.+

  • Matayo 8:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Basi, akanyoosha mukono wake, akamugusa, na kusema: “Ninataka! Kuwa safi.”+ Mara moja akakuwa safi na ukoma wake ukaisha.+ 4 Kisha Yesu akamuambia: “Fanya angalisho, usiambie mutu yeyote,+ lakini uende, ujionyeshe kwa kuhani,+ na utoe zawadi yenye Musa aliagiza,+ ili ikuwe ushahidi kwao.”

  • Marko 5:42, 43
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 42 Na palepale ule mutoto mwanamuke akasimama na kuanza kutembea. (Alikuwa na miaka kumi na mbili [12].) Na mara moja wakakuwa na furaha kubwa sana. 43 Lakini akawakataza tena na tena* wasimuambie mutu yeyote jambo hilo,+ na akasema mutoto huyo apewe kitu fulani cha kula.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine