Yeremia 23:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitasimamishia Daudi chipukizi la* haki.+ Na mufalme atatawala+ na kuonyesha ufahamu na kutenda haki na uadilifu* katika inchi.+ Waroma 1:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 juu ya Mwana wake, mwenye alikuja kutokea katika uzao wa* Daudi+ kulingana na mwili,
5 “Angalia! Siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitasimamishia Daudi chipukizi la* haki.+ Na mufalme atatawala+ na kuonyesha ufahamu na kutenda haki na uadilifu* katika inchi.+