8 Sasa ambia hivi mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutosha katika malisho, ili usiendelee kufuata kundi,+ ili ukuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+
12 Wakati siku zako zitafikia mwisho+ na ulale pamoja na mababu zako, basi nitainua uzao wako* kisha wewe, mwana wako mwenyewe,* na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+