Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Sasa ambia hivi mutumishi wangu Daudi, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutosha katika malisho, ili usiendelee kufuata kundi,+ ili ukuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+

  • 2 Samweli 7:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Wakati siku zako zitafikia mwisho+ na ulale pamoja na mababu zako, basi nitainua uzao wako* kisha wewe, mwana wako mwenyewe,* na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+

  • Luka 1:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Huyo atakuwa mukubwa+ na ataitwa Mwana wa Mwenye Kuwa Juu Zaidi;+ na Yehova* Mungu atamupatia kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+

  • 2 Timoteo 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kumbuka kwamba Yesu Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu+ na alikuwa uzao wa Daudi,*+ kulingana na habari njema yenye ninahubiri,+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine