-
Matayo 1:21-23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Atazaa mwana, na utamupatia jina Yesu,*+ kwa maana ataokoa watu wake katika zambi zao.”+ 22 Kwa kweli, hayo yote yalitokea ili kutimiza yale yenye yalisemwa na Yehova* kupitia nabii wake, wakati alisema: 23 “Angalia! Bikira atapata mimba na atazaa mwana, na watamupatia jina Emanueli,”+ lenye wakati linatafsiriwa linamaanisha, “Mungu Iko* Pamoja na Sisi.”+
-