Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 1:21-23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Atazaa mwana, na utamupatia jina Yesu,*+ kwa maana ataokoa watu wake katika zambi zao.”+ 22 Kwa kweli, hayo yote yalitokea ili kutimiza yale yenye yalisemwa na Yehova* kupitia nabii wake, wakati alisema: 23 “Angalia! Bikira atapata mimba na atazaa mwana, na watamupatia jina Emanueli,”+ lenye wakati linatafsiriwa linamaanisha, “Mungu Iko* Pamoja na Sisi.”+

  • Luka 2:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kisha siku munane (8), wakati muda wa kumutahiri ulifika,+ wakamupatia jina Yesu. Malaika alimupatia jina hilo mbele mama yake apate mimba.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine