24 Kisha Yosefu akaamuka katika usingizi wake na kufanya kama vile malaika wa Yehova alimuambia, akamuchukua bibi yake na kuenda naye kwake. 25 Lakini Yosefu hakufanya naye kitendo cha ndoa mupaka wakati alizaa mwana,+ na Yosefu akamupatia jina Yesu.+