-
Kutoka 30:7, 8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 “Haruni+ atachoma uvumba wenye marashi+ juu ya mazabahu hiyo,+ na kuufanya utoe moshi juu ya mazabahu wakati anashugulikia zile taa+ kila asubui. 8 Pia, wakati Haruni anawasha zile taa mangaribi mbele ya giza kuanza,* atachoma uvumba. Ni toleo la uvumba lenye linatolewa kwa ukawaida mbele ya Yehova katika vizazi vyenu vyote.
-