Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:39, 40
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Kwa hiyo Eleazari kuhani akakamata vyetezo vya shaba vyenye vililetwa na wale wenye walikuwa wameteketezwa kwa moto, na akavipiga-piga ili vifunike mazabahu, 40 kama vile Yehova alikuwa amemuambia kupitia Musa. Hilo lilikumbusha Waisraeli kwamba mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye haiko muzao wa Haruni hapaswe kukaribia ili kuchoma uvumba mbele ya Yehova+ na kwamba mutu yeyote hapaswe kuwa kama Kora na wale wenye walimuunga mukono.+

  • 1 Samweli 2:27, 28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Mutu wa Mungu akakuja kwa Eli na kumuambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 28 Na alichaguliwa katikati ya makabila yote ya Israeli+ ili anitumikie akiwa kuhani wangu na kupanda juu ya mazabahu yangu+ ili kutoa zabihu, kutoa uvumba,* na kuvaa efodi mbele yangu; na nilipatia nyumba ya babu yako matoleo yote ya Waisraeli* yenye yanatolewa kwa njia ya moto.+

  • Luka 1:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kulingana na desturi yenye iliwekwa* juu ya kazi ya ukuhani, ikakuwa wakati wake kutoa uvumba+ wakati aliingia katika patakatifu pa Yehova.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine