-
Hesabu 16:39, 40Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
39 Kwa hiyo Eleazari kuhani akakamata vyetezo vya shaba vyenye vililetwa na wale wenye walikuwa wameteketezwa kwa moto, na akavipiga-piga ili vifunike mazabahu, 40 kama vile Yehova alikuwa amemuambia kupitia Musa. Hilo lilikumbusha Waisraeli kwamba mutu yeyote mwenye haruhusiwe* mwenye haiko muzao wa Haruni hapaswe kukaribia ili kuchoma uvumba mbele ya Yehova+ na kwamba mutu yeyote hapaswe kuwa kama Kora na wale wenye walimuunga mukono.+
-
-
1 Samweli 2:27, 28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Mutu wa Mungu akakuja kwa Eli na kumuambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 28 Na alichaguliwa katikati ya makabila yote ya Israeli+ ili anitumikie akiwa kuhani wangu na kupanda juu ya mazabahu yangu+ ili kutoa zabihu, kutoa uvumba,* na kuvaa efodi mbele yangu; na nilipatia nyumba ya babu yako matoleo yote ya Waisraeli* yenye yanatolewa kwa njia ya moto.+
-