7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye samani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wenye hawaamini, “jiwe lenye wajenzi walikataa+ ndilo limekuwa jiwe kubwa la pembe,”+ 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Wanajikwaa kwa sababu hawatii lile neno. Huo ndio mwisho wenye unawangojea.