Zaburi 119:99 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 99 Niko na ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu ninafikiri sana juu ya* vikumbusho vyako. Matayo 7:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Wakati Yesu alimaliza kusema maneno hayo, watu wengi wakashangazwa na namna yake ya kufundisha,+ Marko 1:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Na wakashangazwa na namna yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa anawafundisha kama mutu mwenye mamlaka, hapana kama waandishi.+ Yohana 7:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Wayahudi wakashangaa, wakisema: “Namna gani mutu huyu alijua hivi Maandiko,*+ ijapokuwa hakusoma kwenye masomo?”*+
99 Niko na ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote,+Kwa sababu ninafikiri sana juu ya* vikumbusho vyako.
22 Na wakashangazwa na namna yake ya kufundisha, kwa maana alikuwa anawafundisha kama mutu mwenye mamlaka, hapana kama waandishi.+
15 Wayahudi wakashangaa, wakisema: “Namna gani mutu huyu alijua hivi Maandiko,*+ ijapokuwa hakusoma kwenye masomo?”*+