-
2 Wafalme 4:32-34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Wakati Elisha aliingia katika nyumba, ule kijana mudogo alikuwa amelala kwenye kitanda chake akiwa amekufa.+ 33 Akaingia ndani na kufunga mulango nyuma yao wawili na akaanza kusali kwa Yehova.+ 34 Kisha akapanda kwenye kitanda na akalala juu ya ule mutoto na akatia kinywa chake juu ya kinywa cha ule kijana mudogo, macho yake juu ya macho yake, na viganja vyake vya mikono juu ya viganja vyake vya mikono na akaendelea kuinama juu yake, na mwili wa ule kijana mudogo ukaanza kupata joto.+
-