Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Mutu huyo alikuja kwa Yesu usiku+ na kumuambia: “Rabi,+ tunajua kama umetoka kwa Mungu ukiwa mwalimu, kwa maana hakuna mutu mwenye anaweza kufanya alama+ hizi zenye unafanya kama Mungu haiko pamoja naye.”+

  • Yohana 5:36
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 36 Lakini niko na ushahidi mukubwa kuliko ule wa Yohana, kwa maana kazi zenye Baba yangu alinipatia nitimize, ni kusema, kazi hizi zenye ninafanya, zinatoa ushahidi kwamba Baba alinituma.+

  • Yohana 10:38
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 38 Lakini kama ninazifanya, hata kama hamuniamini mimi, muamini kazi hizo,+ ili mufikie kujua na muendelee kujua kwamba Baba iko* katika umoja na mimi na mimi niko katika umoja na Baba.”+

  • Yohana 14:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Je, hauamini kwamba mimi niko katika umoja na Baba, na Baba iko* katika umoja na mimi?+ Mambo yenye ninawaambia ninyi, siyaseme kwa kujitungia mimi mwenyewe,+ lakini Baba mwenye anakaa katika umoja na mimi anafanya kazi zake.

  • Matendo 2:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 “Watu wa Israeli, musikie maneno haya: Yesu Munazareti alikuwa mwanaume mwenye Mungu alionyesha kwenu waziwazi kupitia matendo yenye nguvu na maajabu na alama zenye Mungu alifanya kupitia yeye katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe munajua.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine