Marko 12:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Ya pili ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa zaidi kuliko hizi.” Yohana 13:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 Ninawapatia ninyi amri mupya, kwamba mupendane; kama vile nimewapenda ninyi,+ ninyi pia mupendane vilevile.+ 1 Watesalonike 4:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Lakini, juu ya upendo wa kindugu,+ hamuna lazima sisi tuwaandikie ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mumefundishwa na Mungu kupendana.+ 1 Petro 4:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Zaidi ya mambo yote, mukuwe na upendo mwingi ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo unafunika zambi nyingi.+
31 Ya pili ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri ingine yenye kuwa kubwa zaidi kuliko hizi.”
34 Ninawapatia ninyi amri mupya, kwamba mupendane; kama vile nimewapenda ninyi,+ ninyi pia mupendane vilevile.+
9 Lakini, juu ya upendo wa kindugu,+ hamuna lazima sisi tuwaandikie ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mumefundishwa na Mungu kupendana.+
8 Zaidi ya mambo yote, mukuwe na upendo mwingi ninyi kwa ninyi,+ kwa sababu upendo unafunika zambi nyingi.+